Wasiya Wa Pili Wa Rasuli wa Allaah (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) – Swalaah Ya Adhw-Dhwuhaa.
وعَنْ
 أَبِي الدَّرْدَاءِ رضي الله عنه قَالَ : "أَوْصَانِي حَبِيبِي صَلَّى 
اللَّهُ عَلَيْهِ وَسَلَّمَ بِثَلَاثٍ لَنْ أَدَعَهُنَّ مَا عِشْتُ : 
بِصِيَامِ ثَلَاثَةِ أَيَّامٍ مِنْ كُلِّ شَهْرٍ، وَصَلَاةِ الضُّحَى  
وَبِأَنْ لَا أَنَامَ حَتَّى أُوتِرَ"   رواه مسلم  
Imepokelewa
 kutoka kwa Abu Ad-Dardaai (Radhwiya Allaahu ‘anhu) kwamba: “Ameniusia 
mpenzi wangu Swalla Allaahu ‘alayhi wa sallam [mambo] matatu nisiyaache 
maishani mwangu; Swiyaam (kufunga) siku tatu kila mwezi na Swalaah ya 
Adhw-Dhwuhaa na nisilale mpaka niswali Witr” [Muslim] 
Swalaah ya Adhw-Dhwuhaa – Fadhila zake, idadi ya raka’ah zake na wakati wake:
No comments:
Post a Comment